TANGAZA NASI

Kiatu Media

Feedjit

Tuesday, April 29, 2014

DOWNLOAD:- NYIMBO MPYA NNE (4) TOKA KWA WAKALI WAO MODERN TAARADENCE...

Thabit Abdul, Mkurugenzi wa Wakali Wao.
Hii nyimbo ya "Kalieni Viti" imefanyiwa marekebisho kwa wale waliokuwa nao mnaombwa kutumia hii mpya, imeboreshwa!!

Friday, April 18, 2014

HAMMER Q ANA SIRI NZITO...!!!

Katika picha hii hapo juu kuna Hammer Q na AT, halafu kuna maneno hapo kati yameandikwa "Loading..." bila shaka kila kitu anacho Hammer Q mwenyewe, maana taarabuzetu.blogspot.com ilipomuuliza hii picha inamaana gani!! Aliishia kusema "Kuna siri nzito...!"

Hammer Q wapenzi wako wa burudani wanasubiri hiyo siri yako waweze kuijua na mtu wa kuitoa ni wewe mwenyewe.

Usiweke watu roho juu bana, kama kuna kitu kinatoa hapo achia tu watu waburudike.

Sisi "Still waiting...!"

Wednesday, April 9, 2014

5STAR NDANI YA GREEN PARK, TABATA JUMAMOSI HII YA TAREHE 12 APRIL 2014.

Ally J.
Five Star Modern Taarab' kuwasha moto ndani ya GREEN PARK TABATA MAWENZI' J'mosi ya Tar 12.

Akizungumza na taarabuzetu.blogspot.com kiongozi wa kundi hilo Ally J ambaye ni mpiga kinanda machachari hapa nchini, alisema ni ujio wao wa kasi ya ajabu akiwa na wasanii wakali na wenye sauti za kuvutia, mashairi mapya yenye nyimbo za aina tofauti, wataimba nyimbo za zamani na mpya zitakuwepo.

Karibu uje ukutane na waimbaji kama ZENNA MOHAMED, MARYAM BSS, ASHURA MACHUPA na MACHIPUKIZI WENYE UWEZO WA HALI YA JUU. 

Hanifa Maulid (Jike la Chui)
Katika show hiyo kutakuwa na mgeni mualikwa HANIFAH MAULID "Jike la Chui" halafu kuna ALLY J, MUSSA KIJOTI, SAID YUSSUF na wengneo. 

Ally J anasema anaendelea kutafuta chipukizi zaidi kwa nia ya kuwainua kimziki na 5Star inachukua chipukizi kwa nia ya kuwafua zaidi.

USIKOSE...!!!!