TANGAZA NASI

Kiatu Media

Feedjit

Monday, September 29, 2014

Download:- 'Wema Hauozi Ubaya Haulipizwi' - Asia Mzinga ndani ya Mashauzi Classic -


Pata kuisikiliza nyimbo mpya kutoka kwa Asia Mzinga Mwanamtama ikiwa ni nyimbo yake ya kwanza ndani ya Mashauzi Classic ikiwa ni maandalizi ya Albam Mpya ndani ya Mashauzi, "Sura Surambi" ndio Albamu mpya ijayo.

Isikilize kisha mpe point zake.

Thursday, September 25, 2014

Download na kusikiliza nyimbo mpya ya Isha Mashauzi - Nimlaumu Nani...!!!!


NI NYIMBO MPYA TOKA KWA ISHA MASHAUZI AKIWA KAIMBA KATIKA MIONDOKO YA RHUMBA.

ANASEMA NI KATIKA KUWAONESHA TU KUWA RHUMBA PIA ANAWEZA...!!!

##ISIKILIZE KISHA UMPE POINT ZAKE.

Saturday, September 20, 2014

Download: Nyimbo mpyaa... Sina Makuu - Ashura Machupa - G5 Modern Taarab...


Pata kusikiliza nyimbo mpya uimbaji wake Ashura Machupa ndani ya G5 Modern Taarab,
Huku kinanda kikisimamiwa na: Omar Kisila, Mipango na J Four. Mziki wote na Sauti ni Omar Kisila.

Tuesday, September 16, 2014

Download Nyimbo Mpya Mbili (2):- Hassan Voucher Ft Hasna - Sindano na Golkeeper

Saupi mbili tamu zikiungana wajua utapata nini!?
Ni Hassan Voucher na Hasna Mlamal "Masauti", katika nyimbo mbili "Sindano" na "Golkeeper".

Ni nyimbo nzuri zenye miondoko tofauti ili kukupa ladha tofauti wewe mpenzi wa kusikiliza miondoko tofauti tofauti.

Download hapa na uzisikilize kisha uwape shavu...!!!
 

Saturday, September 13, 2014

Misambano kuja na: Si mie ni Moyo...


Abdul Misambano akiwa mazoezini...!!!

Msanii mkongwe katika miondoko ya Taarabu Tanzania Abdul Misambano yupo mbioni kitoa nyimbo nyingine.

Akiongea na blog hii ya Taarabuzetu.blogspot.com mtu wa karibu na Misambano amesema Nyimbo itaitwa "Si mie ni moyo" na nyimbo ishaanza kufanyiwa mazoezi.

Kama unakumbuka ile nyimbo yake ya "ASU", basi tarajia kupata kitu kizuri na huenda zaidi ya Asu...
Kinanda kinasimamiwa na Mkali mwingine wa Vinanda Tanzania Omary Kisira.

Kaa mkao wa kusubiri...

DOWNLOAD: NGOMA MPYAAA!! MTU MZIMA HOVYO - WAKALIWAO MODERN TARADANCE...



 
Nyimbo imeimbwa na Hamuyawezi Kondo
Chini yake Thabit Abdul...!!!
Isikilize ngoma hii!!