![]() |
| Baadhi ya wasanii wa Supershine |
Akizungumza na
mtandao makini wa taarabuzetu.blogspot.com Msanii wa bendi hiyo ambae
pia ni MC Hassan Zumo aliwaomba wapenzi wa bendi hiyo kujitokeza kwa
wingi kuja kushuhudia mambo mazuri ambayo wameyaandaa kwa muda wote wa
kipindi cha Ramadhani. Supershine Modern Taarabu huwa wanatoa burudani zao katika kumbi za Max Bar Ilala kila Jumatano na Lango la jiji kila Alhamisi, wapenzi wote mnakaribishwa.

0 comments:
Post a Comment