TANGAZA NASI

Kiatu Media

Feedjit

Sunday, May 4, 2014

Jahazi Modern Taarab yazidi kutamba Kilimanjaro Music Awards...

Kundi la Jahazi Modern Taarab linaloongozwa na Mfalme Mzee Yusuph limeendelea kung'ara katika tuzo za Kilimanjaro Music Awards baada ya kunyakua tuzo Nne katika sherehe zilizofanyika Mlimani City Dar es Salaam siku ya Jumamosi 3/05/2014.

Katika tuzo hizo Jahazi imezidikushikilia Tuzo yake ya KUNDI BORA LA TAARAB.


TUZO ZINGINE ZA JAHAZI NI:-

Wimbo bora wa taarabu Wasiwasi wako, - Mzee yusuph
Mwanamziki bora wa kiume wa taarab ni -  Mzee YusuphMtunzi Bora wa mwaka - Mzee Yusuph

Pongezi nyingi sana toka kwa blog ya taarabuzetu.blogspot.com kwako Mfalme Mzee Yusuph na Kundi zima la Jahazi Modern Taarab kwa kutwaa tuzo.

0 comments:

Post a Comment