TANGAZA NASI

Kiatu Media

Feedjit

Sunday, June 22, 2014

Jahazi Modern Taarab yafunika uzinduzi wa albam ya "Chozi la Mama"...

Kundi la Jahazi Modern Taarab chini ya ukurugenzi wake Mfalme Mzee Yusuph usiku wa kuamkia leo Jumapili imewezi kufanikisha uzinduzi wa albam yake inayokwenda kwa jina la "Chozi la Mama", show ilikuwa nzuri na watu walifurika na kufurahia.
Mfalme Mzee Yusuph akisalimia mashabiki...

Mashabiki walicheza walivyoweza.

Meneja wa Jahazi Modern Taarab, Mohammed Rashid Mauji 'Father Mauji' pamoja na shabiki wa Jahazi wakizindua albamu mpya iitwayo "Chozi la Mama" ndani ya ukumbi wa Dar Live.

Mzee Yusuf (kulia) akiongea jambo kabla ya uzinduzi wa "Chozi la Mama". Katikati ni Aisha Abushily 'Mama wa madikodiko' kutoka Kenya.
Mzee Yusuf akiimba wimbo wa Chozi la Mama uliobeba jina la albamu iliyozinduliwa.

Mwimbaji wa Jahazi Modern Taarab, Mohammed Ally akiimba wimbo 'Kazi Unayo' kabla ya uzinduzi wa albamu mpya iitwayo Chozi la Mama.



0 comments:

Post a Comment