TANGAZA NASI

Kiatu Media

Feedjit

Thursday, August 7, 2014

G5 Modern ilivyopagawisha Flamingo Magomeni!! Pata picha za Wasanii...!!!

Anaitwa Bi. Mwanahawa Ally.
Ashura-Machupa
Ni kundi maalufu la miondoko ya taarab Tanzania, limesheheni waimbaji na wasanii kibao nyota katika miondoko hii ya mwambao!

Taarabuzetu.blogspot.com inaongea na Mkurugenzi wa kundi hili la G5 na kuongelea show yake ya Jumanne wiki hii pale Flamingo Bar Magomeni na kusema kuwa anashukuru sana kwa mashabiki kuwapokea vizuri maana bendi yake imekubalika kuliko karibu bendi zote zinazopiga pale.

G5 wanafanya show Flamingo Bar Magomeni Mwembechai kila siku ya Jamanne.

Pia Ratiba ya G5 iko hivi:-

-Siku ya Ijumaa sikukuu ya nanenane 8/8/2014 watakuwa Kalembo Bar Buguruni kwa kiingilio cha Tshs 5000/=tu
-Siku ya Jumamosi 9/8/2014 watakuwa Sisi Club maeneo ya Msasani kwa kiingilio cha Tshs 5000/=tu.

Wafuatao ni baadhi ya wasanii waliopagawisha pale Flamingo Bar Magomeni Mwembechai... Usikose kuwaone kila Jumanne...!!!

Dullah Kinanda.


Jumanne Ulaya.

Mwamvita-Shaibu

Omary Kisira

Sharifa Kimobitel

Zena

0 comments:

Post a Comment