TANGAZA NASI

Kiatu Media

Feedjit

Monday, August 4, 2014

FIVE STAR KUFANYA SHOW YA NGUVU NANE NANE...!!

Taarabuzetu.blogspot.com imezungumza na kiongozi wa kundi la Fivestar Mr Ally J ambaye ni Muimbaji na mpiga kinanda mahili wa kundi hilo, amesema siku ya Nanenane watapiga show ya nguvu MSATA katika ukumbi wa Msukuma Pub.

Ally J amesema show hiyo itakuwa maalumu kwa wakazi wa maeneo hayo hivyo wasikose kwani hii itakuwa ni kwa ajili yao pamoja na surprise kibao zitakuwepo siku hiyo.

Kundi zima litakuwepo pale, kundi lililosheheni mastaa kibao...!!!
Ally J.
Zenna Mohamed, Mwamvita Shaib, Maryam BSS, Mussa Kijoti, Said Yusuf, Shaban Almas na wasanii wengine kibao watakuwepo kutoa burudani.


USIKOSE...!!!

0 comments:

Post a Comment