TANGAZA NASI

Kiatu Media

Feedjit

Wednesday, July 30, 2014

Mashauzi Classic ilivyofanya makamuzi Mwanza...!!!

Kundi la Mashauzi wakiwa ndo wametua Mwanza kwa show za Eid!!!
Isha Mashauzi akiwa jukwaani pamoja na tajiri mtoto wa Mwanza Mr. Hamis Muya katika ukumbi wa Buzuruga Plaza.
Hashim Said akiimba Jukwaani...
Umati wa watu uliojaa Ukumbi wa Buzuruga Plaza wakipata burudani toka kwa MashauziClassic Eid Mosi!!!!
Kundi zima la Mashauzi Classic baada ya kukonga nyoyo za mashabiki wa Mwanza, sasa wataelekea jijini Bukoba kufanya makamuzi ndani ya ukumbi wa Liners Club Siku ya Eid Pili!!!

Baada ya Bukoba Eid Tatu watakuwa Jijini Musoma ndani ya ukumbi wa Magereza.

Mjiandae kupata burudani nzuri kabisa kutoka katika kundi bora kabisa - Mashauzi Classic...!!!!

0 comments:

Post a Comment