TANGAZA NASI

Kiatu Media

Feedjit

Tuesday, July 15, 2014

MASHAUZI CLASSIC YAPIGA HODI MWANZA SIKU YA IDD MOSI...!!!

Kundi la Taarab linalofanya vyema katika show zake mbalimbali "Mashauzi Classic" chini ya uongozi wake Isha Mashauzi, siku ya Idd Mosi watafanya show ya Uzinduzi wa Albam yao mpya ya "Asiyekujua hakuthamini!!!

Watakuwa katika ukumbi wa "BUZURUGA PLAZA" na kiingilio kitakuwa Tshs. 10,000/= tu kuanzia saa 3 Usiku mpaka baaaasi!!!

Kutakuwa na wasanii machachari wenye sauti za kuvutia kama Isha Mashauzi (Mkurugenzi), Hashim Said Thania Msomali, Saida Ramadhani, Zubeidah Andunje na wengine walio katika Mashauzi Classic.




SI YA KUKOSA MWANZA...!!!!!!

0 comments:

Post a Comment