TANGAZA NASI

Kiatu Media

Feedjit

Saturday, September 13, 2014

Misambano kuja na: Si mie ni Moyo...


Abdul Misambano akiwa mazoezini...!!!

Msanii mkongwe katika miondoko ya Taarabu Tanzania Abdul Misambano yupo mbioni kitoa nyimbo nyingine.

Akiongea na blog hii ya Taarabuzetu.blogspot.com mtu wa karibu na Misambano amesema Nyimbo itaitwa "Si mie ni moyo" na nyimbo ishaanza kufanyiwa mazoezi.

Kama unakumbuka ile nyimbo yake ya "ASU", basi tarajia kupata kitu kizuri na huenda zaidi ya Asu...
Kinanda kinasimamiwa na Mkali mwingine wa Vinanda Tanzania Omary Kisira.

Kaa mkao wa kusubiri...

0 comments:

Post a Comment