TANGAZA NASI

Kiatu Media

Feedjit

Saturday, August 1, 2015

ANGALIZO: Viwanja vya wasanii wilayani Mkuranga...

Mkurugenzi wa Global One Group Bw Adam Emmanuel amewataka wasanii kua makini katika swala zima la umiliki wa ardhi.

Bw Adam ametoa angalizo hilo kufatia kupewa taarifa ya uwepo wa viwanja kwa ajili ya wasanii wilayani mkuranga mkoa wa pwani jambo lililo mfanya kufika ofisi ya aridhi wilayani humo na kupewa taratibu za kupata kiwanja katika maeneo yaliopimwa kwanza unanunua fomu tsh 15,000 pili ombi lako likipita kwa kiwanja cha makazi sq mita 1 ni tsh 3,250/ na ujazo wa chini ni sq 400 na baada ya hapo unasubili hati inapokua tayari unalipia tsh 20,000/ na kukabiziwa hati yako.

Hivyo swala la viwanja vya wasanii kwa garama ya tsh 50,000/ linaleta mashaka makubwa sana utalatibu wa kupata kiwanja halali cha serikali unalipia 15,000/ ya fomu ya maombi, ukipata unapewa ofa na unatakiwa kulipia tsh 3,250/ kwa sq mita 1 na unapoitwa kuchukua hati unalipia tsh 20,000/ unakabiziwa hati yako, malipo yote yanafanyika kupitia benk ya NMB.

Hofu hii inakuja kwa kuwepo taarifa ya viwanja vya wasanii kwa garama ya tsh 50,000/.


0 comments:

Post a Comment