TANGAZA NASI

Kiatu Media

Feedjit

Tuesday, August 25, 2015

TAMASHA LA COST NITE KUAHIRISHWA...!!!


Mratibu wa tamasha la Coast Nite Bw Emmauel ameeleza sababu zilizo pelekea kuailishwa kwa tamasha hilo lililo kua lifanyike ijumaa tar 28/8 escape One. 


Mratibu huyo kwanza amesema gharama ya kibali cha kufanya tamasha iko juu sana.
Pili kibali cha kuingiza wasanii toka nje ya nchi pia kiko juu sana na
Tatu kodi wanayo takiwa kulipa wasanii toka nje ya nchi ni kubwa ambayo them mashurooms wameilalamikia.

Mwisho Bw Emmanuel ametumia nafasi hii kuyashukuru makampuni yaliyo jitokeza kudhamini tamasha hilo ya precision air, clouds, push, ic, dasami, kapari, eventlites na mwananchi na kuahidi udhamini huo utatumika hapo mbeleni.

Kiongozi wa Them Mashurooms Band Bw John Katana amesema hawakuwa tayari kulipa kodi ya asilimia 15 kutoka kwenye mapato yao kwa kuwa kwanza iko juu sana ukilinganisha na kwao pili awakupewa taarifa mapema juu ya kodi hiyo hivyo anatalajia waandaaji kampuni ya On Point Solutions Ltd watazingatia hayo watakapokuwa tayali hapo baadae.

0 comments:

Post a Comment