TANGAZA NASI

Kiatu Media

Feedjit

Monday, May 4, 2015

Bw Bahati Singh akanusha kuwa yeye ni Mkurugenzi wa wa Dar Modern Taarab - Isome hapa usikie alichosema...


Mr Bahati Sigh


Mkurugenzi mkuu wa on point solutions limited Bw bahati singh akanusha uvumi ulioenea ukidai yeye ndie mkurugenzi wa dar modern kwa sasa. 

Akitoa ufafanuzi juu ya swala hilo Bw singh ameuambia mtandao huu wa taarabuzetu.blogspot.com kuwa, kampuni yake imefanya makubaliano na bendi hiyo ya Dar Modern wa kuratibu maonyesho sita na baada ya hapo itatazama kama ipo haja ya kuendelea na uratibu huo. 

Bw singh amesisitiza yeye sio mkurugenzi wa Dar modern ila kampuni yake ndio inayoratibu ujio mpya wa Modenika na Dar Modern Taarab.

0 comments:

Post a Comment