TANGAZA NASI

Kiatu Media

Feedjit

Wednesday, May 13, 2015

HAWA NDIO WASANII WALIOTEULIWA KUWANIA TUZO ZA KTMA 2015. TENDA HAKI KATIKA KUWACHAGUA...!!





Baada ya mchakato wa muda mrefu kupokea maoni ya wapenzi na wadau wa muziki ili kutengeneza vipengele vya tuzo za mwaka huu, hatimae listi imetoka. Hawa hapa ndio wasanii watakao wania tuzo za mwaka huu.

Orodha ya wasanii waliongia katika kinyang’anyiro cha Kilimanjaro Music Awards 2015:

MTUMBUIZAJI BORA WA MUZIKI WA MWAKA- KIUME
1. Mzee Yusuf
2. Christian Bella
3. Diamond Platnumz
4. Ally Kiba
MTUMBUIZAJI BORA WA MUZIKI WA MWAKA- KIKE
1. Vanessa Mdee
2. Khadija Kopa
3. Isha Mashauzi

4. Shaa
5. Dayna Nyange

3.MWIMBAJI BORA WA KIUME - TAARAB
1. Mzee Yussuf

MWIMBAJI BORA WA KIUME - BONGO FLEVA
1. Ali Kiba
2. Ben Pol
3. Jux
4. Diamond
5. Belle 9
MWIMBAJI BORA WA KIUME - BENDI
1. Jose Mara
2. Kalala Junior
3. Khalidi Chokoraa
4. Chaz Baba
5. Nyoshi El Sadat

MWIMBAJI BORA WA KIKE - TAARAB
1. Khadija Kopa

MWIMBAJI BORA WA KIKE - BONGO FLEVA
1. Lady Jaydee
2. Vanessa Mdee
3. Linnah
4. Grace Matata
5. Malaika
MWIMBAJI BORA WA KIKE - BENDI
(Hakukuwa na washindani)


WIMBO BORA WA MWAKA
1. Mwana – Ali Kiba
2. Nani kama Mama – Christian Bella
3. Gere – Weusi
4. Nitasubiri – Jux
5. Bongo Hip Hop – Fid
WIMBO BORA WA KISWAHILI (BENDI)
1. Otilia – FM Academia
2. Kiu Ya Haki – Mashujaa Band
3. Sauti ya Marehemu – Mapacha Watatu
4. Ganda la Muwa – Twanga Pepeta
5. Wale Wale – Vijana Ngwasuma
WIMBO BORA WA R&B
1. Nitasubiri – Jux
2. Unanichora – Ben Pol
3. Vitamin Music – Belle 9
4. Sisikii – Jux
5. Ni Penzi – Damian Soul
WIMBO BORA WA HIP HOP
1. Bongo Hip Hop – Fid Q
2. Mfalme – Mwana FA
3. Kipi Sijasikia – Proffesor Jay
4. Gere – Weusi
5. I See Me – Joh Makini
6. XO – Joh Makini
WIMBO BORA WA REGGA/DANCE HALL
1. Let Them Know – Maua
2. Mama Afrika – Warriors From The East
3. Maisha Magumu – Warriors From The East
4. Greeting For You – Ras Six
5. Tujimwage – Deddy
RAPA BORA WA MWAKA (BENDI)
1. Ferguson
2. Msafiri Diouf
3. Sauti ya Radi
4. J4
5. Kabatano

MTUNZI BORA WA MWAKA- TAARABU
1. Mzee Yusuf 

MTUNZI BORA WA MWAKA- BONGO FLEVA
1. Ally Kiba
2. Diamond
3. Ben Pol
4. Barnaba
5. Jux
MTUNZI BORA WA MWAKA- BENDI
1. Jose Mara
2. Nyoshi El Saadat
3. Rogart Hegga Katapila
4. Hussein Jumbe
5. Richard Mangustino
MTUNZI BORA WA MWAKA- HIP HOP
1. Fid Q
2. Mwana FA
3. Joh Makini
4. Nikki wa Pili
5. Kala Jeremiah
MTAYARISHAJI (PRODUCER) BORA WA NYIMBO WA MWAKA- BONGO FLEVA
1. Nahreel
2. Man Water
3. Mesen Selekta
4. Tudd Thomas
5. Marco Chali

MTAYARISHAJI (PRODUCER) BORA WA NYIMBO WA MWAKA- TAARAB
1. Enrico

MTAYARISHAJI (PRODUCER) BORA WA NYIMBO WA MWAKA- BENDI
1. Allan Mapigo
2. Enrico
3. Said Comorien
4. Amoroso
5. Ababuu Mwana Zanzibar
VIDEO BORA YA MUZIKI YA MWAKA
1. Mdogo Mdogo – Diamond
2. Nitampata Wapi – Diamond
3. Mwana – Ally Kiba
4. Olethemba – Linah
5. Asante – AY
WIMBO BORA WA AFRO POP
1. Mwana – Ali Kiba
2. Mdogo Mdogo – Diamond
3. Niseme – Yamoto Band
4. Nitakupwelepweta – Yamoto Band
5. Kanyaboya – Mesen Selekta
6. Hawajui – Vanessa Mdee
WIMBO BORA WA ZOUK/RHUMBA
1. Nani Kama Mama – Christian Bella
2. Basi Nenda – Mo Music
3. Nitampata Wapi – Diamond
4. Nasimama – Lady Jaydee
5. Historia – Lady Jaydee
.WIMBO BORA WENYE VIONJO VYA ASILI YA KITANZANIA
1. Waite – Mrisho Mpoto
2. Vuma – Vitalis Maembe
3. Tumetoka Mbali – Jagguar Music
4. Mama Shabani – Ifa Band
5. Omwana – B.K Sande
MSANII BORA CHIPUKIZI ANAYEIBUKIA
1. Baraka Da Prince
2. Beka Tittle
3. Afromaniac
4. Alice
5. Billnas
.WIMBO BORA WA KUSHIRIKISHWA/KUSHIRIKIANA
1. Forever – Lady Jaydee ft Dabo
2. Mfalme – Mwana FA fr G-Nako
3. Kipi Sijasikia – Prof Jay ft Diamond
4. Kiboko Yangu – Mwana FA ft Ali Kiba
5. Kerewa – Shetta ft Diamond
BENDI BORA YA MWAKA
1. FM Academia
2. The African Stars
3. Mapacha Watatu
4. Mashujaa Band
5. Msondo Ngoma


KIKUNDI BORA CHA MWAKA- BONGO FLEVA
1. Yamoto Band
2. Weusi
3. Navikenzo
4. Makomando
5. B.O.B

0 comments:

Post a Comment