TANGAZA NASI

Kiatu Media

Feedjit

Monday, May 18, 2015

Modern Taarab nani zaidi 2015 yaja...!!!

Aliebuni mpambano wa Modern Taarab nani zaidi 2007 Bw Emmanuel Kalugira aeleza nia yake ya kuurejesha tena mwaka huu baada ya mpambano huo kupolwa na times fm mwaka 2009 baada ya kuupeleka times fm mwaka 2008.

Bw Emmanuel ameuambia mtandao huu wa taarabuzetu.blogspot.com kuwa, baada ya kituo alichofanya nacho mwaka 2007 cha C2C tv kubadilisha uongozi wake na ungozi ulioingia kutokua na upenzi na jambo hilo ilio mpelekea kuwasiliana na kituo cha time fm kuwaomba washilikiane kulifanya mwaka 2008.

Baada ya hapo uongozi wa times fm ukatoa kauli zinazosema uongozi haukotayali kushilikiana na mtu katika jambo hilo ndio likazaliwa tamasha la “Mitikisiko ya Pwani”.

0 comments:

Post a Comment