TANGAZA NASI

Kiatu Media

Feedjit

Thursday, June 25, 2015

Je!, Waijua Bendi ya Them Mushrooms ya Nchini Kenya....?????



Them Mashurooms,
Bend ya nchini Kenya ni moja ya bend maalufu afrika mashariki iliyo dumu kwa zaidi ya miaka 40 na imejipatia umaalufu mkubwa barani ulaya kwa ushiliki wao katika maonyesho mbali mbali barani humo.



Pamoja na kua na umri mkubwa lakini bendi hiyo bado ipo imara kama chuma cha reli.
Bendi zilizo wahi kushiliki tamasha la "Coast nite" mjini nairobi toka Tanzania ni New Zanzibar star, Melody, TOT Taarab, Mashauzi na Dar modern.

Baadhi ya picha wakiwa kwenye matamasha hizi hapa:-







Kwa habari zaidi juu ya Them Mushrooms Band utaendelea kuzipata hapa...

Karibu sana.

0 comments:

Post a Comment