TANGAZA NASI

Kiatu Media

Feedjit

Saturday, June 13, 2015

Mfalme Mzee Yusuph kutangaza nia kuwania ...

Mfalme wa Taarab Mzee Yusuph, Mkurugenzi wa Jahazi
Mkurugenzi wa Jahazi Modern Taarab Mfalme wa Taarab Mzee Yusuph siku ya Jumamosi ya tarehe 13/06/ 2015 katika onesho lake pale Travertine Magomeni atatangaza nia.

Mzee yusuph ambaye ni Muimbaji na Mpiga kinanda mahili ameidokezi blog hii ya Taarabuzetu.blogspot.com kuwa, siku hiyo atatangaza nia yake ya kugombea ..... katika kinyang'anyilo kinachokuja. Mmeamua kujitosa kwa kuona kuwa anafaa ila kaahidi kuzungumza mengi zaidi mbele ya mashabiki.

Usikose siku hiyo kumsapoti Mfalme Mzee Yusuph...

0 comments:

Post a Comment