TANGAZA NASI

Kiatu Media

Feedjit

Thursday, July 16, 2015

Mr. Hamis Slim achukua Fomu rasmi kwa ajili ya kugombea... Mcheki hapa...

Mr. Hamis Slim akichukua Fomu ya kuwania U - Diwani katika kata ya Mtoni akiwa pamoja na Prince Muumini Mwinjuma.
Hamis Slim aliongea na Blog hii ya Taarabuzetu.blogspot.com na kusema "Leo hii nimechukua fomu ya kuwania udiwani kata ya Mtoni nikisindikizwa na wana ccm wa kata yangu pamoja na swahiba yangu Muumin Mwinjuma.

Bwana Slim ambaye pia ni Mkurugenzi wa Bendi ya G5 Modern Taarab aliongeza "Imani yangu kubwa ni Ushindi ili niweze kuwatumikia wananchi wenzangu wa kata ya Mtoni, ni mengi nimepanga kuyafanya iwapo nitachaguliwa".

Mtandao huu unamtakia kila la kheri katika mbio zake hizi za Uongozi...

0 comments:

Post a Comment