TANGAZA NASI

Kiatu Media

Feedjit

Thursday, July 2, 2015

Majazi Modern Taarab inakuja kuwashika...

Mwimbaji wa Majaz Modern Taarab Mrisho Rajab
Mkurugenzi wa Majazi Modern Taarab Bw Majaliwa amewataka wapenzi na mashabiki wa bendi hiyo kukaa mkao wa kula kwa ujio mpya wa bendi hiyo.

Akiongea na mtandao huu wa taarabuzetu.blogspot.com kwa njia ya simu Bw Majaliwa amesema pamoja na ukimya wa muda mrefu lakini bendi yao ipo hai na wanatalajia kurejea jukwaani muda si murefu.
"Baada ya kukaa kwa muda mrefu tukiwa kimya, sasa tupo katika maandalizi makubwa ya ushindani katika tasnia hii ya muziki, tunakuja kuonesha kuwa sisi ni nani katika burudani, hii yote itakuwa baada ya mfungo wa Ramadhani".

0 comments:

Post a Comment