TANGAZA NASI

Kiatu Media

Feedjit

Thursday, July 2, 2015

Onyesho maalum la Coast Nite (Kosa Uchekwe)

Mkurugenzi wa On Point Solution Bw. Bahati.
Mkurugenzi wa On Point Solutions Limited Bw Bahati Singh amewataka wapenzi na mashabiki wa mziki wa enzi hizo kukaa tayari kwa onyesho maalum la COAST NITE (kosa uchekwe).

Bwana Bahati amesema onyesho hilo linatalajiwa kufanyika mwezi ujao Jumamosi ya tar 1 katika ufukwe wa Escape one mikocheni jijini Dar es Salaam.

Akiongea na mtandao huu Bw Bahati amesema usiku huo maalum utasindikizwa na THEM MUSHROOMS BEND toka jijini nairobi nchini kenya na THE EAST AFRICAN MELODY na DAR MODERN TAARA Za hapa nyumbani tanzania.

Bw Bahati ameongeza kwa kusema hii si ya kukosa "KOSA UCHEKWE"

0 comments:

Post a Comment