TANGAZA NASI

Kiatu Media

Feedjit

Friday, March 21, 2014

Ajali ya kukumbukwa: Five Star Modern Taarab...

Kila inapofika tarehe kama ya leo ya mwezi huu (21/3/20011), huleta kumbukumbu mbaya ya wanamziki wa 5Stars Modern Taarab, ajali iliyotokea maeneo ya Morogoro.


Baadhi ya wasamalia wema waliokuwa kwenye foleni ya magari baada ya kutokea kwa ajili ya Basi ndogo la Wasanii wa Kundi la Five Stars Moden Taarab wakichunguza kwa makini iwapo kuna mtu aliyebanwa ama kusahauliwa kuokolewa ama miili wake kubakia eneo hilo baada ya basi hilo kuparamia lori lililosheheni mbao lililokuwa limeharibika njiani, katika barabara kuu ya Iringa- Morogoro , eneo la Hifadhi ya Taifa ya wanyama ya Mikumi, karibu na Kijiji cha Doma, Wilaya ya Mvomero usiku


Ni ajali iliyopoteza watu 13 kati ya hao 12 walifariki papo hapo na mmoja
alifariki akiwa anapatiwa matibabu Hospitalini.
Kazi Yake mola Haina makosa mbele yao nyma yetu Mungu awalaze mahala pema peponi Aamin.

0 comments:

Post a Comment