TANGAZA NASI

Kiatu Media

Feedjit

Sunday, March 23, 2014

MSIBA:- SHAMIRA HAMISI WA KINGEKE MORDEN TAARAB YA MOROGORO AFIWA NA BABA YAKE MZAZI...

Muimbaji wa bendi ya kingeke modern taarab yenye makazi yake mkoani morogoro aitwae Shamila Hamisi amefiwa na baba yake mzazi ktk ajari ya gari iliyotokea mkoani mbeya juzi. Msanii huyo ambae kwa sasa anatamba na wimbo wake "SITOLIPIZA UBAYA". ndani ya bendi hiyo amekuja mkoani dar kwa mazishi ya baba yake na leo wametoa tatu ya msiba wa mzee wake huyo. Akizungumza na mtandao huu afisa habari wa bendi hiyo ametoa pole kwa niaba ya wasanii wote wa kingeke na uongozi kwa ujumla. Sisi taarabuzetu pia tukiwa kama wadau tunatoa pole kwa msanii huyo kuondokewa na baba yake kipenzi mzee Hamisi bwana ametoa na bwana ametwaa jina lake lihidimiwe. Wakati huo huo bendi hiyo ya kingeke ipo ktk mchakato wa kurekodi nyimbo zao mpya kabisa hivi karibuni kwahiyo wadau na wapenzi wa taarabu wa morogoro na tanzania kwa ujumla wakae mkao wa kupata vitu vizuri toka kwao.

0 comments:

Post a Comment