TANGAZA NASI

Kiatu Media

Feedjit

Saturday, December 28, 2013

Aysher Vuvuzela vipi Ndoa au ni kimyakimya tu!?

Hy ni mapenzi tu hatutaki keroooooo
Wapenzi wa mwanamziki muimbaji wa Taarabu machachari wa kundi la Fivestar, Aysher Othman Vuvuzela wameulizia katika blog hii ya taarabuzetu.blogspot.com kuwa, Aysher kafunga lini ndoa!?

Maswali haya yamekuja pale alipoanza kupost picha akiwa na mtu anayesema ni mpenzi wake huku wakiwa katika mapozi ya kimahaba.

Ameolewa au anazini tu!? ni dada mmoja aliuliza kwa shart la kutotaja jina lake, na Mr Hamad toka Gongola Mbota akasema "Akiachwa pia aje kutueleza hapa"

Baadhi ya post za Vuvuzela ni kama hizi:-

".unapokuwa upo kaatika mchana na usku waaangu uu' pungufu hayaajakamilika' yanakuwa maisha yangu' naona ndiyo ilivyoumbikaaa kuwa wewe ndio moyo wangu ' haakika imekwishalingika kuwa ww ndie roho yangu" my love ma happiness love u sana my saaaleh mkassy skassy byybbb"

I love him a lot and he lovs me much i knw that  tnks Allah kwa kunipa mpenz bora
Aaaaaaaaa mtuache jaman

Kwakweli blog hii bado haijapata habari kamili toka kwa Aysher mwenyewe baada ya kutafutwa kwenye simu yake na kutopatikana, ila tunamuomba Vuvuzela atueleze kama watu washakula ubwabwa ama bado tujiandae na michango...

1 comments:

Anonymous said...

kweli kabisa atafutwe iliatimboke tujue km tayar or watu wanaonja n kusepa??

Post a Comment