TANGAZA NASI

Kiatu Media

Feedjit

Friday, December 13, 2013

TWAHA WA DAR MODERN APIGWA MASHAUZI CLASSIC...

  Muimbaji wa kutegemewa wa bendi ya taarabu ya Dar Modern Taarabu, Twaha Mavoko jana katika onyesho la bendi ya Mashauzi Classic alipata kichapo toka kwa madada wa mjini kutokana na kupishana lugha kulikopelekea kadhia au dhahama hiyo. 


Twahaa alikwenda Mashauzi kutembea kama ilivyo utaratibu kwa wasanii kutembeleana katika show mbalimbali. lakini wakati show ikiendelea Twaha alionekana kurushiana maneno yaliyopelekea kushikana maungoni. na kwavile Twaha alikuwa peke yake na wale wanawake walikuwa wengi walimpiga na kumchana sikio. 
Mwandishi wa habari hizi hakuweza kufanikiwa kuongea na Twaha kutokana na fujo hiyo..


0 comments:

Post a Comment