TANGAZA NASI

Kiatu Media

Feedjit

Thursday, January 9, 2014

NANI MKALI WA MDUARA? AT au OFFSIDE TRICK... Ni Ijumaa hii 10/01/2014 Zanzibar.

Ni AT au OFFSIDE TRICK!? Ni show kali na ya aina yake kutokea nchini Tanzania.

Ni kundi maarufu la miondoko ya miduara Tanzania na msanii maarufu wa miondoko hiyo pia ambao ni mahasimu wakubwa pia, siku ya Ijumaa wataoneshana nani mkali, nani mbabe wa miondoko hiyo ndani ya Ukumbi wa Polisi Mess mjini Zanzibar.

Show hiyo pia itasindikizwa na mwanadada Shilole pamoja na kundi lake machachali katika kunogesho show.

Kiingilio kimepangwa kuwa Tsh. 5,000/= tu kuanzia saa mbili usiku mpaka Majogoo...!!

Unakaribishwa kushuhudia mpambano huo mkali...!!

0 comments:

Post a Comment