TANGAZA NASI

Kiatu Media

Feedjit

Saturday, November 2, 2013

AYSHER VUVUZELA - "SIJAOLEWA ILA NIKITAKA BWANA NITASEMA"...

Aysher Vuvuzela
Muimbaji machachari wa 5Stars Modern Taarabu Aysher Othman (Vuvuzela) amekerwa na baadhi ya tabia ya wanaume katika ukurasa wa Facebook, taarabuzetu.blogspot.com katika pitapita yake imekutana na status aliyoitoa mwenyewe.

"Kiukweli wanaume wa humu facebook ni hatari urafk ni mzuri lkn mnaingia sana inbox na cjaana msemacho wengi wenu hamna ni kila akuombae urafki akikuadd ukimuacept anakutongoza na wengine ukikataa sio wastaarabu na maneno machafu juu hebu punguxeni sipo humu kwa ajili ya kutafuta bwana kweli sijaolewa ila nikitaka bwana kupitia humu ntasema huu mda wa kutengeneza pesa sio mapenzi ugonjwa wa moyo tuheshimiane ukiona huna la kusema usinisumbue mi unipende leo umeniona humu na mkeo nyumban achen umalaya mnaboaaaaaaa wenye twabia hzo acheni"


Pia leo Jumamosi Aysher atakuwa Rufita Tabata kutoa Burudani kwa mwaliko wa bendi ya Fungakazi Modern Taarabu, ameahidi kucheza na mashabiki watakaofika kushuhudia.

0 comments:

Post a Comment