TANGAZA NASI

Kiatu Media

Feedjit

Tuesday, November 12, 2013

NYAWANA KUZIKWA KESHO TAREHE 13 NOV. TABORA.

Nyawana Fundikira.
Msanii na mtangazaji wa Passion FM Nyawama Fundikira kuzikwa kesho Jumatano nyumbani kwao Itetemwa mkoani Tabora.

Kwa siku ya leo kutakuwa na maandalizi na kisomo kitakachofanyika maeneo ya Makanya maalufu kwa bibi Nyau Magomeni, kisomo kitakuwa kati ya saa 7 na safari inatarajiwa kuwa saa kumi na moja 11 jioni.

Wote mnaombwa kuhudhuria kwa wingi kumsindikiza ndugu yetu mpendwa.

Mungu amlaze mahali pema peponi, sisi tulimpenda lakini Mungu kampenda zaidi.

1 comments:

Anonymous said...

R.I.P Nyawana

Post a Comment