TANGAZA NASI

Kiatu Media

Feedjit

Thursday, November 14, 2013

PICHA ZA MAZISHI YA MALKIA WA KINYAMWEZI, NYAWANA FUNDIKIRA HUKO TABORA...

Kadri muda uendavyo ndivyo watu walizidi kufika ulipo msiba wa Nyawana Fundikira, maeneo ya Gongoni, Tabora mjini hapo jana. Hata hivyo mwili wake ulichelewa kidogo kuwasili mjini lakini watu waliendelea kujazana wakikaa juani bila taabu yeyote. Hii ni ishara kuwa watu wa Tabora walimkubali sana Nyawana ambaye wao walipenda kumuita Mamaa Nyawana au Jembe!
Baada ya mwili kufika, japo ulichelewa ulifanyiwa maandalizi ikiwa pamoja na kuagwa kwa ndugu na jamaa walioko Tabora na baadae mida ya saa moja (1:00) usiku.
MAMAA NYAWANA AMEPUMZISHWA KATIKA MAKAZI YAKE YA MILELE KATIKA MAKABURI YA ITETEMYA  MKOANI TABORA NJE KIDOGO NA MJI.
MAZISHI YALICHELEWA KUTOKANA NA KUCHELEWA KUWASILI KWA MWILI WA MAREHEM.


 "MUNGU AILAZE PEMA ROHO YA MAREHEMU NYAWANA FUNDIKIRA".

2 comments:

Unknown said...

inauma wallahi.. yan kama ndoto vile.. tumabaki na sauti tu mwenyewe hatunae tena

Unknown said...

inauma wallahi.. yan kama ndoto vile.. tumabaki na sauti tu mwenyewe hatunae tena

Post a Comment