TANGAZA NASI

Kiatu Media

Feedjit

Friday, November 29, 2013

5Stars kuwasha moto wa burudani Jijini Arusha leo hii ya tarehe 29 Nov. 2013.

Baadhi ya wasanii wa 5Stars.
 Kikosi kizima cha 5Stars Modern Taarabu kipo jijini Arusha katika show iliyoandaliwa na Radio 5.

Taarabu zetu umetaarifiwa kuwa, show itafanyika kukiwa na wasaani wote Nyota wa 5Stars kama:-
Thabit Abdul a.k.a. Jiko la Jela a.k.a. The HERO.
Ally J
Jumanne Ulaya
Juma Mkima

Msanii aliyejiunga na 5Stars hivi karibuni Mgeni Kisoda naye yupo kutoa Burudani.
Mgeni Kisoda alitokea Jahazi kwa Mzee Yusuph kabla hajajiunga na 5Stars.

Wengine ni:
Hammer Q
Aysha Vuvuzela na wengine kibao watakuwepo.

5Stars wanategemea kufanya show yao leo na kesho kurudi Dar kuendelea na Ratiba zao.

Aysher Vuvuzela akiwa na Mgeni Kisoda.

0 comments:

Post a Comment