TANGAZA NASI

Kiatu Media

Feedjit

Saturday, February 15, 2014

AYSHER VUVUZELA AFUNGA NDOA...

Aysher Othman "Vuvuzela".
Mwimbaji machachari na mwenye uwezo mkubwa wa kuimba ndani ya Kings Modern Taarab Othman Aysher Vuvuzela jana mchana amefanikiwa kufunga ndoa yake kwa amani.

Ndoa hiyo imefungwa jana huko Kiluvya nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam na kufana sana.

Baada ya ndoa Aysher aliwashukuru sana ndugu, jamaa na marafiki wote walioweza kufanikisha ndoa yake kufungwa, shukurani pia kwa wale wote waliohudhulia.
http://taarabuzetu.blogspot.com/

http://taarabuzetu.blogspot.com/
Taarabu Zetu inakupa pongezi sana Aysher na mumeo kwa kuweza kufanikisha na kufikisha ndoto uliyokuwa nayo kwa muda mrefu.

Mungu awabariki sana, Mdumu, Mpate watoto na muishi kwa amani.

0 comments:

Post a Comment