TANGAZA NASI

Kiatu Media

Feedjit

Friday, February 21, 2014

Mgeni Kisoda: Hakuna mpiga kinanda anayemkubali kama...

Mgeni Kisoda akipapasa kinanda katika mahojiano.
Anaitwa Mgeni Kisoda mtaalamu wa kupapasa Kinanda toka Jahazi hadi Dar Modern.

Ni mpiga kinanda mzuri ambaye hana historia ndefu ya kufanyia katika bendi mbalimbali, ila kwa hivi sasa yupo Dar Modern na anamiliki Bendi yake inayokwenda kwa jina la Maisha Band na yeye kama Mkurugenzi.

Katika mahojiano na taarabuzetu.blogspot.com Kisoda amesema hakuna mpiga kinanda mkali na anayetamani kufikia kama yeye, ambapo alisema ni Mzee Yusuph na anayemfutia ni Ally J, Hakuna mwingine na kama wa tatu basi ni yeye mwenyewe Mgeni Kisoda.

0 comments:

Post a Comment