TANGAZA NASI

Kiatu Media

Feedjit

Monday, October 14, 2013

BAADA YA KUITOSA JAHAZI, MGENI KISODA ATIMKIA MUSCAT!.

Mgeni Kisoda.
Yule mpiga kinanda maarufu ambae takribani mwezi mmoja umepita tokea aachane na bendi ya Jahazi Modern Taarabu Mgeni Kisoda ametimkia Muscat kwenda kupiga muziki wa Hotel. 

Akizungumza na mwandishi wa blog hii rafiki wa karibu wa Mgeni Kisoda na mmiliki wa bendi ya Taarabu iitwayo "Raha Original" yenye maskani yake Magomeni Dar es Salaam "Bwana Ostaadh" alisema Mgeni ameondoka na muimbaji wa kiume aliefahamika kwa jina moja tu la Eddy pamoja na mwanamke mmoja jina halikuweza kufahamika, huko wamekwenda kupiga muziki wa Hotel, kwani hata mimi pia huwa naenda mala moja moja!.

0 comments:

Post a Comment