TANGAZA NASI

Kiatu Media

Feedjit

Tuesday, October 8, 2013

KINGEKE MODERN TAARABU YAMALIZA SHOOTING YA NYIMBO ZAKE MPYA!.

 Bendi ya Kingeke Morden Taarabu yenye makazi yake mkoani Morogoro, tayari imemalizia shooting ya nyimbo zake mpya kabisa ambazo editing yake itafanyiwa Zanzibar. 

Shooting hiyo ilitawaliwa zaidi na mazingira ya mji kasoro bahari yaani Morogoro. 

Akizungumza na mwandishi wa habari hizi msemaji wa bendi hiyo Hussein Iddy au "Baba Ubaya" alisema tumeamua kutumia location za mkoani kwetu Morogoro ili kuleta tofauti na video za wenzetu ambazo zimekuwa hazina mabadiliko mazingira yale yale tu! sisi tutakuwa mfano na sio mbaya kama wakiiga kutoka kwetu.

0 comments:

Post a Comment