TANGAZA NASI

Kiatu Media

Feedjit

Sunday, October 13, 2013

MOSI SULEIMAN:- MIMI SIO MSANII WA 5 STAR'S KWA SASA..

Mosi Suleiman.
Muimbaji mahiri wa Taarabu nchini Mosi Suleiman ambae juzi tu alitambulisha wimbo wake mpya wa bongo fleva, ameuambia mtandao huu kwamba yeye kwa sasa sio msanii wa 5 Stars na hana bendi yoyote ameamua kupumzika kwanza.

Mosi suleimani alikuwa akizungumza na mtandao huu wa taarabuzetu.blogspot.com kuelezea ni kwanini yupo kimya huku mashabiki zake wakipiga simu katika chumba chetu cha habari kutaka kujua ni wapi alipo kipenzi chao Mosi Suleiman.

"Unajua ndugu mwandishi, mimi nilikuwa pale 5 Stars ila kuna tofauti flani zilijitokeza kati yangu na uongozi nikaamua kuacha bendi basi".

0 comments:

Post a Comment