TANGAZA NASI

Kiatu Media

Feedjit

Friday, October 11, 2013

NDAGE NDAGE:- SUPERSHINE MODERN TAARABU NI ZAIDI YA MASHAUZI.

Mpiga Kinanda wa Supershine Modern Taarabu, Ndage Ndage.
Aliyekuwa mpiga kinanda wa bendi ya Mashauzi Classic Said Ndage Au "Ndage Ndage" Ambae kwa sasa yupo katika bendi ya Supershine Modern Taarabu amesema anafurahia maisha katika bendi yake hiyo mpya kuliko mwanzoni alivyokuwa katika bendi ya Mashauzi. 

Ndage aliyasema hayo wakati anafanya mahojiano na mwandishi wa mtandao huu, "unajua ndugu mwandishi wakati nipo pale Mashauzi nilikuwa naonekana sina thamani yoyote, lakini tokea nimekuja hapa Supershine namshukuru mungu mambo yangu mazuri sana! Mkurugenzi na Meneja wangu wananitimizia kila ninachotaka.

0 comments:

Post a Comment