TANGAZA NASI

Kiatu Media

Feedjit

Wednesday, October 2, 2013

RATIBA YA G5 MODERN TAARABU KWA WIKI HII...

 JUMATANO NA KILA JUMATANO - CLUB KAKALA, KIGAMBONI,

KILA JUMAPILI - EQUATOR GRILL, MTONI.
 
African Stars, Twanga Pepeta.

Mkurugenzi wa G5 Modern Taarabu Mr Hamis Slim ameuambia mtandao huu kuwa, katika show yao ya Jumapili hii tarehe 6/10/2013 katika ukumbi wa Equator Grill Mtoni kwa Azizi Ally watakuwa na wakali wa miondoko ya Dance Tanzania TWANGA PEPETA, wataangusha bonge show.

Show hiyo imepewa jina la "USIKU WA TARADANCE" na Kiingilio kitakuwa ni Tshs. 5,000/=TU.

Ni burudani nzuri kabisa, maalumu kwa wakazi wa Mtoni na maeneo ya jirani, SI YA KUKOSA...

0 comments:

Post a Comment