TANGAZA NASI

Kiatu Media

Feedjit

Saturday, October 19, 2013

SHOW YA HADIJA KOPA NDANI YA DAR LIVE YASOGEZWA MBELE..

Hadija Kopa (Malkia wa Mipasho).
Hadija Omary Kopa, au malkia wa mipasho nchini Tanzania, ilibidi afanye show siku ya tarehe 19 mwezi huu ndani ya ukumbi wa DAR LIVE lakini kutokana na khali yake na maandalizi mengine makubwa imelazimika kusogezwa mbele mpaka tarehe 3 ya mwezi wa 11 na siku hiyo pamoja na burudani toka kwa malkia huyo lakini pia utapitishwa mchango kwa ajiri ya malkia huyo ili pesa itakayopatikana aweze kuanzia maisha yake mapya baada ya kutoka kufiwa na mumewe. 

Pia Kopa ana wimbo mpya kabisa uitwao "LADY WITH A COMFIDANCE" ambao atautoa hivi karibuni.

0 comments:

Post a Comment