TANGAZA NASI

Kiatu Media

Feedjit

Friday, October 11, 2013

RAMADHAN KISOLO NI STAR WETU WA MWEZI SEPTEMBER...!!

Ramadhani Kisolo mpiga Gitaa la Solo wa Mashauzi Classic...
Katika wapiga gitaa la solo ambao wanafanya vizuri sasa hivi katika tasnia ya Taarabu nchini Tanzania basi jina la "Ramadhan Kisolo Mwana Malui" litakuwa ni miongoni. 

Kisolo ambae kwa sasa ni mpiga Gitaa la solo namba moja wa bendi ya Mashauzi Classic ameongoza kwa kushirikishwa kupiga nyimbo nyingi sana mpya za Taarabu ikiwemo katika bendi tofauti mpaka kwa wasanii mmoja mmoja yaani zingzong". 

Katika mwezi wa tisa kisolo kapigia Mashauzi Classic Albam nzima, Funga Kazi Modern Taarabu albam nzima, kapiga wimbo mpya wa Nyawana Shetani kataja jina na nyinginezo nyingi.

0 comments:

Post a Comment