TANGAZA NASI

Kiatu Media

Feedjit

Saturday, October 26, 2013

KHADIJA KOPA KUANZA SHOW YA KWANZA MWANZA...

Malkia wa Mipasho TZ. Khadija O. Kopa.
Malkia wa mipasho Tanzania Bibie Khadija Omary Kopa! anatarajia kufanya show ya kwanza kabisa tokea atoke kwenye EDA ya kufiwa na mumewe. 

Taaribu tulizonazo Show hiyo ambayo imepangwa itafanyika tarehe 31 mwezi huu wa 10 ndani ya ukumbi wa VILLA PARK jijini Mwanza. 

Malkia huyo ameahidi kushusha burudani ya nguvu kwa mashabiki wake ambao walikuwa wamemkosa kwa muda mrefu sana. 

Baada ya kumaliza show hiyo, siku ya tarehe 3 mwezi wa 11 Khadija anatarajia kufanya show maalum kwa ajiri yake na wakazi wa Dar kwa ujumla ndani ya ukumbi wa DAR LIVE, hapo pia kutapita harambee kwa ajiri yake Khadija

0 comments:

Post a Comment