TANGAZA NASI

Kiatu Media

Feedjit

Sunday, October 13, 2013

TETESI: AISHA VUVUZELA ASAINI 5 STARS MODERN TAARABU..

Muimbaji wa Kings, Aisha Othman (Vuvuzela).
 "Waswahili wanasema lisemwalo lipo na kama halipo linakuja". 

Yule muimbaji wakutegemewa wa bendi ya Kings Modern Taarabu, Aisha Othman Vuvuzela jana jumamosi mida ya saa 10 za jioni alionekana katika kambi ya bendi ya 5 Stars Mtoni kwa Azizi Ally Dar es Salaam akiwa na viongozi wakubwa wa bendi hiyo. 

Chanzo chetu cha habari toka ndani ya bendi hiyo kilisema kwamba Vuvuzela alikuja hapa, kwanza kabisa kuusoma mkataba then akiuafiki ndipo atasaini! lakini uwezekano wa yeye kujiunga na bendi yetu ni mkubwa sana sababu amesema hana mkataba na Kings analipwa mshahara tu.

0 comments:

Post a Comment