TANGAZA NASI

Kiatu Media

Feedjit

Sunday, October 13, 2013

HAMISI SLIM, TAFADHALI USITUMIE TENA MASHAIRI YANGU.

Hemedi Omary
Muimbaji wa bendi ya Bandari Modern Taarabu ambae pia ni msanii wa TOT Hemedy Omary amevunja ukimya na kumuonya Mkurugenzi wa bendi ya G5 Modern Taarabu, Hamisi Slim Kuacha mara moja kutumia mashairi yake.

Ni mashairi ambayo walikubaliana amuuzie lakini Mkurugenzi huyo akakiuka makubaliano hayo, mashairi ambayo Hamisi Slim anatakiwa kuacha kuyatumia ni:- 
** Muungwana hagombani, 
** Mwanamke kiwango, 
** Adivertise na 
** Kidole kimemponza ng'ombe. 

 Hemedy Omary alisema kwamba kuna pesa ndogo aliyopewa na bosi huyo, yupo tayari kumrejeshea bila wasiwasi ili wamalizane kabisa!.

0 comments:

Post a Comment