TANGAZA NASI

Kiatu Media

Feedjit

Friday, October 4, 2013

MRIDU ALLY:- BAADA YA KUJIONDOA DAR MODERN TAARABU, AAMUA KUANZISHA BENDI YAKE...!!

Unapolitaja jina la Mridu Ally katika tasnia hii ya taarabu basi jua unamtaja mtu muhimu sana.

Mridu aliingoza vyema Dar Modern mpaka ikajizolea umaarufu mkubwa na mashabiki lukuki, lakini mwanzoni mwa mwaka huu aliamua kujiengua toka katika bendi hiyo na kufanya kazi zake zingine mpaka juzi alipotangaza kwamba ameamua kuanzisha bendi yake mwenyewe iitwayo Bombastic Modern Taarabu "WANA B KUBWA".

Mridu alisema kuwa tayari ameshaisajili bendi yake kisheria na hivi karibu ataingia kambini kujiandaa na ushindani uliopo kwa sasa.

0 comments:

Post a Comment