TANGAZA NASI

Kiatu Media

Feedjit

Wednesday, October 30, 2013

FATMA YASINI NAE AIKIMBIA KING'S MODERN TAARABU...

Fatma Yasin
Wimbi la wasanii kuondoka ndani ya bendi ya Kings Modern Taarabu limeendelea baada ya msaani mwingine Fatma Yasini nae kuondoka na kujiunga katika bendi mpya iitwayo Rocky City Modern Taarabu. 

Fatma Yasini ndani ya bendi ya Kings Modern Taarabu ameimba wimbo uitwao "Sikuogopi nakupotezea" utunzi wake Director Kijoka.  

Akiongea na mwandishi wa taarabuzetu.blogspot.com Fatma alisema: "Unajua ndugu mwandishi, mimi ni msanii na mara nyingi huwa naangalia sehemu ninayothaminiwa na ndio maana nimekuja hapa Rocky City Modern Taarabu kwani Mkurugenzi wake ameonesha kunijari zaidi" alisema.

0 comments:

Post a Comment