TANGAZA NASI

Kiatu Media

Feedjit

Saturday, October 5, 2013

MUSSA BESI WA JAHAZI, KUOA TAREHE 6 MWEZI HUU.

 Mpiga gitaa la besi katika bendi ya Jahazi Modern Taarabu Mussa Besi anatarajia kuuaga ukapera siku ya tareh 6 mwezi huu huko magomeni. 

Akizungumza na mwandishi wa habari hizi Mussa alisema anawakaribisha wale wote wanaomfahamu na wasiomfahamu kwani kuna mambo mengi mazuri amewaandalia. 

Mussa Besi ni msanii mwenye historia ndefu kidogo katika tasnia hii ya taarabu na pia alishawahi kufukuzwa kazi pale Dar Modern kwa kosa la kwenda kurekodi nyimbo na Babu Ayubu wakati ana mkataba na mkurugenzi Feresh wa Dar Modern Taarabu. 

Sisi mtandao wa taarabuzetu tunampongeza na tunamtakia maisha mema katika ndoa yake.

0 comments:

Post a Comment