TANGAZA NASI

Kiatu Media

Feedjit

Thursday, September 19, 2013

AMIN SALMIN: OMARY KOPA NA AHMED MGENI NI HAZINA YA TAARABU ILIYOZIMIKA GHAFLA...

Amini Salmin akiuguza Mguu wake.
 Mkurugenzi Wa T MOTTO Amin Salmin amesema Omary Kopa na Ahmed Mgeni ndio waimbaji wakiume pekee ambao walikuwa ni kioo pekee king'aacho kwa waimbaji wa kiume wa taarabu hapa nchini kwetu. 

Kushoto Marehemu Ahmed Mgeni na Omary Kopa enzi za uhai wao.

 Amin aliyasema hayo wakati alipotembelewa nyumbani kwake mikocheni kwenda kumjulia khali kutokana na ajali ya gari iliyompata huko arusha wiki kadhaa zilizopita. 

Amini Salmin akitembelea Magongo.
Amini Salmin mkurugenzi wa T Moto akiwa kajipumzisha.
Amin alisema waimbaji wengi waliobakia kwa sasa wanaiga sauti za wasanii hao waliotangulia mbele ya haki hivyo kufanya kusiwe na jipya kwa waimbaji hao wakiume, wajipange kivyao sasa.

0 comments:

Post a Comment