TANGAZA NASI

Kiatu Media

Feedjit

Sunday, September 22, 2013

BAKARI HANZURUNI AZIKWA...

 Bakari Hanzuruni amezikwa jana katika makaburi ya Kisutu.

Mpiga solo wa zamani wa bendi ya East African Melody Bakari Hanzuruni aliefariki ghafla juzi (Alhamisi) asubuhi kwa maradhi ya kichwa amezikwa jana saa 7 mchana katika makaburi ya kisutu jijini Dar es Salaam.

Hanzuruni ambae aliwahi kurekodi na bendi hiyo ya Melody mpaka jumatano alikuwa hana tatizo lolote na hata katika show ya Gusagusa Min Bend alionekana katika ukumbi wa Lango la jiji Magomeni. 

Bwana ametoa na bwana ametwaa jina lake lihidimiwe.

0 comments:

Post a Comment