TANGAZA NASI

Kiatu Media

Feedjit

Sunday, September 15, 2013

OMARY TEGO KUJA NA WIMBO MPYA...

Mkurugenzi wa Coast Modern Taarabu, Omary Tego.
 Mkurugenzi wa Coast Modern Taarabu Omary Tego the Special One au Mgodi unaotembea yupo katika maandalizi bab-kubwa! kufyatua kibao matata sana kiitwacho "UTABAKI KUWA WEWE". 

Mwandishi wa habari hizi ambae alijipenyeza mpaka katika kambi ya mazoezi yao iliyopo Kinondoni jijini Dar es Salaam aliwakuta Tego na mwanadada Jamira Dolphin ambae kwa upande wake nae anatengeneza wimbo wake mzuri ambao una ujumbe wa mwanamke kumsifu mumewe!. 

Kambi hiyo ambayo wameifanya kuwa siri kubwa inaendeshwa na Director Thabit Abdul jiko la Jela. 

Haya wapenzi wa taarabu tusubiri!.

0 comments:

Post a Comment