TANGAZA NASI

Kiatu Media

Feedjit

Friday, September 20, 2013

MSIBA TENA, BAKARI HANZURUNI AFARIKI DUNIA...

Mpiga gitaa la solo wa zamani wa East African Melody BAKARY HANZURUNI amefariki dunia ghafla leo asubuhi hapa jijini dar. 

Akizungumza na mwandishi wa taarabuzetu.blogspot.com katibu wa East African Melody Mr Abuu amesema marehemu amekufa ghafla leo asubuhi kwa ugonjwa wa kichwa, homa ilipomzidia walimpeleka hospital pia alikuwa anafanyiwa dawa za suna ikiwemo kisomo yote katika kuokoa uhai wake lakini mwenyezimungu akamchukua. 

Marehemu katika uhai wake alipigia Melody wakati ndio anatoka Tanga kuja hapa Dar es Salaam, taratibu za mazishi zinafanywa maeneo ya kariakoo Dar es Salaam!.

0 comments:

Post a Comment