TANGAZA NASI

Kiatu Media

Feedjit

Sunday, September 15, 2013

SHETANI KATAJA JINA: YAWA GUMZO MOMBASA KENYA!

"Shetani kataja jina" ni Wimbo wa mapenzi lakini una asili ya mipasho ile ya kisasa zaidi. 

Muimbaji wa wimbo huu mpya ni Nyawana Malkia wa Kinyamwezi, 
Katika wimbo huu Kinanda kimepigwa nae Thabit Abdul, 
Besi gitaa limepigwa na Mussa Mipango, 
Solo Gitaa kapiga Ramadhan Kisolo. 

Akizungumza Na mwandishi wa habari hizi mtangazaji wa Redio 5 nchini Kenya Mwanaisha Suleiman alisema kwamba anastaajabu sana juu ya wimbo huu kwani hauna siku nyingi tokea umetambulishwa redioni lakini umekuwa ukipendwa na wasikilizaji hata katika vitongoji vya Mombasa umekuwa ukichezwa katika sherehe mbalimbali kwa sasa!.

0 comments:

Post a Comment