TANGAZA NASI

Kiatu Media

Feedjit

Sunday, August 18, 2013

AISHA VUVUZELA:- SIJAMLENGA MTU KATIKA WIMBO WANGU, ATAKAE JISHUKU SHAURI YAKE..

Aisha Vuvuzela.
 Muimbaji machachari wa bendi ya King's Morden Taarabu, Aisha Vuvuzela amesema kwamba wimbo wake mpya wa "Nimechoka na kashifa zenu", ni tungo isiyomhusu mtu yeyote na hajamkusudia mtu kama inavyodaiwa. 

Ameyasema hayo jana wakati akihojiwa na mtangazaji Nyawana Kais wa kipindi cha Ambaa na mwambao kinachorushwa na Passion FM ya jijini Dar. 

Kiukweli nimekuwa nikipata maswali mengi sana toka kwa watu mbalimbali tokea wimbo wangu ulivyotoka. kiukweli huo ni utunzi wa kawaida kama tungo zingine na niliyoyazungumza humo yanatokea sana kwenye jamii, naomba wadau wanielewe hivyo!!.

0 comments:

Post a Comment